Quintus Horatius Flaccus (pia: Horasi; 8 Desemba 65 KK - 27 Novemba 8 KK) alikuwa mshairi mashuhuri wa Roma ya Kale.
Alizaliwa kama mtoto wa mtumwa aliyepewa uhuru na bwana wake na kutajirika baadaye. Hivyo aliweza kumpa mwanawe elimu nzuri. Alisomea Roma na baadaye Ugiriki.
Aliandika mengi kwa lugha ya Kilatini akasifiwa wakati wake na katika karne zilizofuata.
Kati ya maneno yake yaliyorudiwa mara kwa mara ni: